Serikali yaahidi kuchunguza mkasa wa ndege
0
0
21/04/24
Trong
Châu phi
Rais William Ruto,ameahidi wakenya kuwa hakuna mauaji ya kiholela yatakazolenga kiongozi yeyote katika utawala wake rais amewahakikishia wote wenye maswali na shauku kuhusu ajali ya ndege iliyosababisha kifo cha Francis Ogolla kuwa uchunguzi wa kina utafanywa kubaini ukweli wa mambo
Cho xem nhiều hơn
0 Bình luận
sort Sắp xếp theo