Serikali yaahidi kuchunguza mkasa wa ndege
0
0
21/04/24
Di
Afrika
Rais William Ruto,ameahidi wakenya kuwa hakuna mauaji ya kiholela yatakazolenga kiongozi yeyote katika utawala wake rais amewahakikishia wote wenye maswali na shauku kuhusu ajali ya ndege iliyosababisha kifo cha Francis Ogolla kuwa uchunguzi wa kina utafanywa kubaini ukweli wa mambo
Menampilkan lebih banyak
0 Komentar
sort Sortir dengan