Serikali yaahidi kuchunguza mkasa wa ndege
0
0
21/04/24
В
Африка
Rais William Ruto,ameahidi wakenya kuwa hakuna mauaji ya kiholela yatakazolenga kiongozi yeyote katika utawala wake rais amewahakikishia wote wenye maswali na shauku kuhusu ajali ya ndege iliyosababisha kifo cha Francis Ogolla kuwa uchunguzi wa kina utafanywa kubaini ukweli wa mambo
Показать больше
0 Комментарии
sort Сортировать по