Tiếp theo

Watu wawili wafariki huku wengine zaidi ya 20 wakijeruhiwa kufuatia ajali ya barabarani

25/12/23
K24 TV
Trong Châu phi

Watu wawili walifariki mapema hii leo huku wengine zaidi ya 20 wakijeruhiwa kufuatia ajali ya barabarani iliyotokea eneo la Taru katika barabara kuu ya Nairobi kuelekea Mombasa. Katika ajali nyengine mmoja aliaga dunia kwenye barabara ya Kakamega kuelekea Kisumu.

Cho xem nhiều hơn

 0 Bình luận sort   Sắp xếp theo


Tiếp theo