Bir sonraki

Serikali kubadilisha hatimiliki za ardhi za watu na mashirika yaliyo na vipande vya ardhi msituni

08/04/24
K24 TV
İçinde Afrika

Serikali kupitia kwa waziri wa mazingira Soipan Tuya imesema kuwa itabadilisha hatimiliki zote za ardhi za watu na mashirika yaliyo na vipande vya ardhi katika misitu iliyotangazwa kwenye gazeti za serikali. Mapema wiki hii, tuya aliongoza maafisa kutoka idara ya kulinda misitu KFS, katika shughuli ya kubomoa ukuta uliojengwa kwenye kipande cha ardhi katika msitu wa Oloolua kilichodaiwa kunyakuliwa na shirika la kujali maslahi ya watoto nchini.

Daha fazla göster

 0 Yorumlar sort   Göre sırala


Bir sonraki