Næste

Sekta ya afya taabani

18/04/24
K24 TV
I Afrika

Huduma za afya katika hospitali za umma zilizoathirika sasa zitarejea kwa kiasi fulani endapo maagizo ya mahakama yatatekelezwa. Mahakama ya uajiri na mahusiano ya leba imesimamisha notisi ya mgomo wa madaktari ya machi 6, 2024, na kuagiza baadhi ya madaktari warejee hospitali huku mazungumzo yakianza.

Vis mere

 0 Kommentarer sort   Sorter efter


Næste