Berikutnya

Sekta ya afya taabani

18/04/24
K24 TV
Di Afrika

Huduma za afya katika hospitali za umma zilizoathirika sasa zitarejea kwa kiasi fulani endapo maagizo ya mahakama yatatekelezwa. Mahakama ya uajiri na mahusiano ya leba imesimamisha notisi ya mgomo wa madaktari ya machi 6, 2024, na kuagiza baadhi ya madaktari warejee hospitali huku mazungumzo yakianza.

Menampilkan lebih banyak

 0 Komentar sort   Sortir dengan


Berikutnya