Sekta ya afya taabani
0
0
18/04/24
Trong
Châu phi
Huduma za afya katika hospitali za umma zilizoathirika sasa zitarejea kwa kiasi fulani endapo maagizo ya mahakama yatatekelezwa. Mahakama ya uajiri na mahusiano ya leba imesimamisha notisi ya mgomo wa madaktari ya machi 6, 2024, na kuagiza baadhi ya madaktari warejee hospitali huku mazungumzo yakianza.
Cho xem nhiều hơn
0 Bình luận
sort Sắp xếp theo