اگلا

Sekta ya afya taabani

18/04/24
K24 TV
میں افریقہ

Huduma za afya katika hospitali za umma zilizoathirika sasa zitarejea kwa kiasi fulani endapo maagizo ya mahakama yatatekelezwa. Mahakama ya uajiri na mahusiano ya leba imesimamisha notisi ya mgomo wa madaktari ya machi 6, 2024, na kuagiza baadhi ya madaktari warejee hospitali huku mazungumzo yakianza.

مزید دکھائیں

 0 تبصرے sort   ترتیب دیں


اگلا